4x4

HAFLA YA WAZIRI DK. MGIMWA KUKABIDHI TUZO WAFANYAKAZI BORA

 
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Fedha Ingiahedi Mduma (kushoto)  akipokea tuzo ya ufanyakazi bora wa kitengo kutoka kwa Waziri wa Fedha Dkt . William Mgimwa (kulia) . Tafrija fupi ilifanyika jana mjini Dar es salaam kufuatia kuchaguliwa kwake mwezi Mei mwaka huu kuwa mfanyakazi bora wa mwaka 2012.
 Mkuu wa Mfuko wa Mikopo wa Hazina kutoka Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali , Wizara ya Fedha Christina Ngonyani (kushoto)  akipokea tuzo ya ufanyakazi bora wa kitengo kutoka kwa Waziri wa Fedha Dkt . William Mgimwa(kulia) . Tafrija fupi ilifanyika jana mjini Dar es salaam kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa mfanyakazi bora wa mwaka 2012.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto)  akipokea tuzo ya ufanyakazi bora wa Wizara hiyo kutoka kwa Waziri wa Fedha Dkt . William Mgimwa(kulia) . Tafrija fupi ya kuwazawadia wafanyakazi bora ilifanyika jana mjini Dar es salaam na kuhudhuriwa na wafanyazi mbalimbali.

 Waziri wa Fedha Dkt . William Mgimwa (katikati) akiwapongeza wafanyakazi wa Wizara ya Fedha walichaguliwa mwezi Mei mwaka huu kuwa wafanyakazi bora kwa mwaka 2012. Tafrija fupi ya kuwazawadia wafanyakazi bora ilifanyika jana mjini Dar es salaam na kuhudhuriwa na wafanyazi mbalimbali.
Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa , Katibu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah wakishirikiana na viongozi wa TUGHE na wafanyakazi wa Wizara hiyo jijini Dar es salaam kuimba wimbo wa mshikamano wakati wa tafrija fupi jana ya kuwapongeza wafanyakazi bora  wa mwaka huu. Picha zote na GCU- HAZINA

0 comments:

Post a Comment