4x4

MAHAFALI SUNRISE NURSERY & PRIMARY SCHOOL YALIVYOFANA

 Watoto wa chekechea wa shule hiyo chini ya walimu wao, wakitoka baada ya kuimba wimbo maalum wa kwaaga wenzao
 Watoto wa darasa la tatu. wakiimba wimbo wa mganda kutoka mkoa wa Ruvuma
 Baadhi ya wazazi wakipigapicha wa iPAD zao wakati wa mahafali hayo. Hebu jaribu uliridishe mawazo miaka kama 20 hivi nyuma ujiulize wazazi wangeweza kufanya kama hawa?
 Watoto wakijiburudisha kwenye vifaa vya michezo vya shule hiyo wakati wa mahafali hayo
 Baadhi ya familia wakiwa kwenye mahafali hayo
 Neema Sagamba aka Mama Chachandu akiwa kwenye mahafali hayo, kumsindikiza mtoto wake aliyekuwa anahitimu.
Dj akikamua kutumbuiza wakati wa mahafali hayo. Kushoto ni Furaha Ruhende wa Uhuru FM ambaye naye ni mdau kiongozi kwenye mahafali hayo.