4x4

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ZILIVYOFANYIKA LEO

 Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akikagua gwaride lililoandaliwa na vikosi vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania na JKU, wakati wa maadhimisho ya miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwenye Uwanja wa Aaman mjini Zanzibar
 Dk. Shein akipungia mkono vikundi mbalimbali vilivyokuwa vikipita mbele ya jukwaa kuu wakati wa maadhimisho hayo. Kushoto ni Rais wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete
 Makamu wa Rais, Dk. Muhammed Gharib Bilal akimsalimia Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salmin Amour baada ya kuwasili kwenye sherehe hizo
 Dk. Bilal akimsalimia Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad. Katikati ni Dk. Salmin Amour
 Dk. Bilal akiwa na Maali Seif na viongozi wengine jukwaa kuu
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mama Mwanamwema Shein na Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange wakiwa kwenye sherehe hizo.
 Waziri Kiongozi Mstaafu,  Shamsi Vuai Nahodha akiwa kwenye sherehe hizo.
 Waalikwa mbalimbali wakiwa kwenye sherehe hizo.
 Wananchi wakiwa kwenye sherehe hizo
 Wananchi wakiingia Uwanjani kwa mandamano maalum
 Kikosi cha JWTZ kikipita mbele ya Jukwaa kuu kwa heshima
 Kikosi cha Magereza wakipita mbele ya Jukwaa kwa heshima
 Kikosi cha wanamaji kikipita mbele ya Jukwaa kwa heshima
 Kikosi cha Bendera
 Dk Shein akihutubia kilele cha sherehe hizo. Picha na Wapigapicha Maalum