4x4

BONANZA LAA WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA BIA TANZANIA (TBL)

 Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), pamoja na ndugu zao wakishindana katika mchezo wa kuvuta kamba kwenye bonanza la kufurahi pamoja na familia zao, katika ufukwe wa Hoteli ya Kunduchi Beach,Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
  Ofisa Mnasihi wa VVU wa AMREF, Peace Kayoza (kushoto), akimchukua kipimo cha  damu Zaina Mohamed, mmoja wa wanafamilia ya TBL katika bonanza hilo.
 Mtoto wa moja ya familia ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ambaye hakufahamika jina lake akitoa shoo ya bure katika bonanza la wafanyakazi hao kufurahi pamoja na familia zao, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Meneja Uhusiano wa TBL, Editha Mushi akijadiliana jambo na viongozi wenzake wakati wa bonanza hilo.
 Ofisa wa TBL Salvatory Rweimamu (kulia) akimkabidhi zawadi mtoto wa wanafamilia ya TBL aliyeshinda mbio.
 Watoto wa familia za wafanyakazi wa TBL wakiongelea katika bwawa maalum
 Wafanyakazi wa TBL wakiwa na zawadi za fulanaz
 Meneja Usambazaji na Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, James Bokela (kulia), akimkabidhi zawadi ya vifaa vya shule, mmoja wa mtoto wa wanafamilia ya TBL baada ya kushinda katika michezo wa mbio kwa watoto wa kiume bonanza la kufurahi pamoja na familia zao, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mtoto wa mmoja wa wanafamilia ya wafanyakazi wa TBL akimwaga shoo ya nguvu

DAKTARI ULIMBOKA ALIPOFIKISHWA MUHIMBILI AKIWA MAHUTUTI BAADA YA KUPIGWA NA WATU WASIOJULIKANA

 Ilibidi usalama kuimarishwa  kwenye eneo la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili muda mfupi kabla ya Mwnyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania Steven Ulimbvoka kufikishwa hospitalini hapo lifiatia kipigo alichopata kutoka kwa watu wasiojulikana ambao inadaiwa walimteka  usiku wa kuamkia leo
 Hali ikawa hivi
 Ikawa hata kupiga picha tukio hilo inazuiwa  na polisi waliovalia kiraia kama huyu
 Hata polisi Auxilary wa Muhimbili nao walipata kazi kama huyu (kushoto)
 Mazingira yakawa hivi
 Watu wakkaa makundi makundi kujua kulikoni
 Lango la MOI likiwa limefungwa kabla ya Ulimboka kufikishwa hospitalini hapo kwa kuwa mgomo wa madaktari ulikuwa ukiendelea
 Baadaye lango la MOI likafunguliwa kidoogo  lakini hakuna wagonjwa waliokuwa wakiruhusiwa kuingia, alikuwa anasubiriwa Ulimboka tu.
 Babu  (mwenye msuli) ambaye ni mgonjwa aliyehitaji huduma hakuipata kwa sababu mgomo ulikuwa ukiendelea 
 Kisha Ambulance iliyombeba Ulimboka ikafika Muhimbili
 Wapigapicha wakawa na kazi mshike mshike, kiasi cha baadhi yao kama huyo Tryphone Mweji wa The Cuardian akalazimika kutumia mbinu ya kupanda kwenye majengo hospitalini hapo kupata piocha bora, labda ya mwaka/
 Madaktari licha ya kuwa katika mgomo, wakauweka kando kwanza kumhudumia Ulimboka. Hapa wanampekeka katika chumba cha mapokezi
 Ushirikiano wa madaktari na wauguzni kuokoa maisha ya Dk. Ulimboka ukawa wa kutosha kama hivi
 Watu wakalizunguka Ambulace iliyomleta Ulimkoka Muhimbili
 Kma hivi
 Madaktari, wauguzi na waandushi wa habari wakiwa katika pilikapilika kujua kwa kuna hatma ya Ulimboka
 Wakasimama  makundi kama hivi
 Polisi wakazidi kuwa karibu na tukio
Huyu jamaa akizungumza na waandishi wa habari. akidai kupigwa na madaktari  eti alishabikia mbele yao kupigwa Ulimboka

WAJASILIAMALI 16 DAR WAKABIDDHIWA RUZUKU ZA ZAFARI WEZESHWA

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kulia) kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa  Dar es Salaam akimkabidhi Mjasiliamali, Catherine Urio Cherahani wakati wa kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali wa Safari Wezeshwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa  Dar es Salaam akimkabidhi Mjasiliamali, Elizabeth Chami Mashine ya kutengenezea keki inayotumia gas na umeme wakati wa kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali wa Safari Wezeshwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Ofisa mauzo wa Kanda wa TBL Victo Kavishe.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa  Dar es Salaam akimkabidhi Mjasiliamali, Christabela Lyimo Compresor ya kupakia rangi inayotumia  wakati wa kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali wa Safari Wezeshwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.

AFUNGWA MIAKA TISA JELA TARIMA, KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

TARIME, TANZANIA
Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, mjini ya Jaji Amir  Mruma imemuhukumu Mkazi wa Tarime  Chomete John Wambura kwenda jela miaka tisa baada ya kupatikana na hatia ya kuuwa bila kukusudia.
Katika kesi hiyo, Wambura amepatikana na hatia ya kumuua Chacha Ryoba Mkono kwa kumchoma kisu wakati wa ugomvi wakati  wakicheza  mchezo wa Pool.
Akitoa Hukumu hiyo Jumanne Wiki hii Jaji Mruma alidai kuwa amelidhika na Ushahidi uliotolewa Mahakamani hapo bila Shaka yoyote na Mtuhumiwa kuiomba Mahakama imsamehe kwani kosa lake la Kwanza na walikuwa wakigombea sh 200/= wakati wakicheza Pool ,
Ambapo ilidaiwa na  Mwanasheria wa Serikali Varence Mayega kuwa Mtuhumiwa Chomete alifanya Mauaji hayo  Agost 19/2009  Mchana katika Kijiji cha Genkuru tarafa ya Ingwe alipomchoma Mwenzake Chacha Ryoba Kisu wakati wakigombana na Kusababisha Kifo kwa Ryoba , mbali na Mtuhumiwa  kuiomba Mahakama  imusamehe kwa kuwa amekaa Mahabusu kwa mda mrefu Jaji Mruma alimuhukumu Kwenda Jela Miaka 9 ili iwe Fundisho kwa watu wengine wanaoondoa Roho za Watu bila Sababu za Msingi ,
Katika kesi nyingine katika Mahakama hiyo Kuu ya Jaji Mruma imemuhukumu Marwa Magembe naye kwenda Jela miaka 9 kwa kuuwa bila kukusudia , ambapo Mwanasheria wa Serikali Mayega alidai kuwa Matuhumiwa Magembe alimuuwa Murian Chacha Tugara usiku Agost 19 /2010 katika Kijiji cha Nyantira Tarafa ya Ingwe

mrembvo aolewa dar

karibu uwanja wa habari za jamii